ZOOM

ZOOM

Menu

UPDATES

26 Jan 2025

#HABARI 

Harakati za ELIMU na OFFISI za SERIKALI kusimama kwa muda wa siku mbili, Tarehe 27 na 28 mwezi January mwaka 2025.

readmore

Permanent secretary of art and culture Tanzania

Permanent secretary of art and culture Tanzania

25 Jan 2025

Mdau anadai mfumo wa kuomba mkopo wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Tanzania (HESLB) unasumbua kwa zaidi ya wiki, anatoa wito kwa Mamlaka zishughulikie mapema kwa kuwa anaamini Taasisi kubwa kama hiyo haitakiwi kukosa wataalam wa kurekebisha hali inayojitokeza sasa kwa haraka

Pia, anashauri muda wa maombi kwa watakaodahiliwa Machi (March Intake) uongezwe kwa madai zimebaki siku chache kabla ya dirisha la maombi ya mkopo kufungwa (Februari 15, 2025) ili kutoa fursa kwa waombaji wote kukamilisha maombi yao bila shinikizo la muda...readmore

Higher education students loans board

Higher education students loans board

X
This site uses cookies to offer you a better browsing experience.
You can accept them all, or choose the kinds of cookies you are happy to allow.
Privacy settings
Choose which cookies you wish to allow while you browse this website. Please note that some cookies cannot be turned off, because without them the website would not function.
Essential
To prevent spam this site uses Google Recaptcha in its contact forms.

This site may also use cookies for ecommerce and payment systems which are essential for the website to function properly.
Google Services
This site uses cookies from Google to access data such as the pages you visit and your IP address. Google services on this website may include:

- Google Maps
- Google Fonts
Data Driven
This site may use cookies to record visitor behavior, monitor ad conversions, and create audiences, including from:

- Google Analytics
- Google Ads conversion tracking
- Facebook (Meta Pixel)