ZOOM

ZOOM

Menu

News, Advertisements & Business

At least 1 million passengers have traveled aboard the standard gauge railway (SGR) electric trains between Dar es Salaam, Morogoro, and Dodoma, the capital of Tanzania, since the service's launch...readmore 

Sgr train

Sgr train

Simba sports club silence CS Constantine to top Group in CAF confideration Cup.

Ubaya ubwela

Ubaya ubwela

Kimbisa: President Samia, Dr. Mwinyi should be given the opportunity to run in 2025....readmore

Elections

Elections

 Watahiniwa 477,262 Kati ya 516,695 waliofanya mtihani wa kidato cha nne 2024 wamefaulu kwa 92.37% ,ukilinganisha na matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2023 ambapo watahiniwa waliofaulu walikuwa 471,427 sawa na 89.36%, ambapo kati yao wasichana ni 249,078 sawa na 91.72 na wavulana 228,184 sawa na 93.08%.

Pia Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini (NECTA) Dkt. Said Mohammed amesema ufaulu wa somo la Basic Mathematics kwa kidato cha nne bado upo chini ya wastani licha ya kuendelea kuimarika kwa miaka 10 hivyo juhudi za ziada zinatakiwa kuongezwa kwenye somo hilo.

#CSEE-NECTA RESULTS


Necta csee results released

Necta csee results released

The National Examination Council of Tanzania release SFNA results  2024/2025...readmore

Standard four necta results

Standard four necta results

Application window 2024/2025...readmore

universities application 2024/2025

universities application 2024/2025

AFYA: Januari 20, 2025, Serikali ilitangaza mlipuko wa Ugonjwa wa Virusi vya #Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamulo, Mkoani Kagera baada ya Mtu mmoja kukutwa na Maambukizi.

Kufuatia taarifa ya mlipuko wa Ugonjwa huo, Serikali imetoa mwongozo wa Wasafiri wanaoingia na kutoka Mkoani Kagera kwa kuandaa Ushauri wa Usafiri Na. 15 Januari 21, 2025 ili kudhibiti usambazaji na ueneaji wa Ugonjwa huo Nchini.


#Learnmore


#Jamiiforum





Marbug virus

Marbug virus

MAREKANI: Mwanamuziki Chris Brown amewasilisha kesi dhidi ya Kampuni ya filamu, Warner Bros. Discovery, akiidai Kampuni hiyo kiasi cha Tsh. Trilioni 1.2, akidai kwamba Kampuni hiyo imechapisha taarifa za uongo na zinazomdhalilisha kupitia 'Documentary' ya "Chris Brown: A History of Violence" .


Mwanasheria wa Chris, Levi McCathern amesema "Kesi hii ni kuhusu kulinda ukweli, licha ya kupewa ushahidi kuwa taarifa hizo si za kweli bado Kampuni hiyo iliandaa 'documentary' hiyo na kuichapisha kwa makusudi wakifahamu wako kinyume na majukumu yao kama Waandishi wa Habari."


#JamiiForums 

Chris brown

Chris brown

Vivuko vinne kuelekea kigamboni.

#cloudsmedia

#HABARI Kufuatia tukio la wavuvi zaidi ya 500 waishio katika kijiji cha Nankanga, kuzama kwenye maji baada ya mitumbwi yao kulemewa na upepo uliotokana na dhiruba kali katika Ziwa Rukwa wakati wanatekeleza majukumu yao,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Helikopta ya jeshi iliyoambatana na wazamiaji na vifaa maalum vya uokozi ili kuongeza nguvu ya uokozi .

Tayari Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, Januari 24, 2025 alifika kwenye kijiji hicho kuungana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji kujionea hali ya uokozi inayoendelea ambapo mpaka sasa wavuvi 540 wameokolewa na wengine 10 wanatafutwa.

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Nyakia Chirukile ameeleza kuwa mnamo Januari 23, 2025, jumla ya wavuvi 550 kutoka Kata ya Nankanga na Mtowisa waliokuwa wanaendelea na shughuli za uvuvi kwenye Ziwa Rukwa walipatwa na dhoruba kali ya upepo ulioikumba mitumbwi yao, na kisha kuzamishwa, ambapo kufikia siku ya Jumamosi Januari 25, 2025 jitihada mbalimbali za kuokoa zinaendelea kufanywa na wananchi kwa kushirikiana na Jeshi la Uokoaji ikiwa ni pamoja na kuwatambua wavuvi ambao walikuwa hawajasajiliwa...readmore

Rukwa

Rukwa

X
This site uses cookies to offer you a better browsing experience.
You can accept them all, or choose the kinds of cookies you are happy to allow.
Privacy settings
Choose which cookies you wish to allow while you browse this website. Please note that some cookies cannot be turned off, because without them the website would not function.
Essential
To prevent spam this site uses Google Recaptcha in its contact forms.

This site may also use cookies for ecommerce and payment systems which are essential for the website to function properly.
Google Services
This site uses cookies from Google to access data such as the pages you visit and your IP address. Google services on this website may include:

- Google Maps
- Google Fonts
Data Driven
This site may use cookies to record visitor behavior, monitor ad conversions, and create audiences, including from:

- Google Analytics
- Google Ads conversion tracking
- Facebook (Meta Pixel)